Habari

Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Jumanne Sagini amewataka Mawakili wa Serikali kutoa ushauri mapema.

Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Jumanne Sagini amewataka Mawakili wa Serikali kutoa ushauri mapema kabla mambo hayajaharibika.... Soma zaidi

Imewekwa: May 22, 2024

Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali yatakiwa Kuendelea kutumia Baraza la Wafanyakazi kuimarisha Ushirikishwaji.

Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali imetakiwa kutumia Baraza la Wafanyakazi hatua itakayosaidia kuimarisha ushirikishwaji ili watumishi waweze kufanya kazi kwa kuzingatia rasilimali zilizopo kufikia malengo waliyojiwekea kwa wakati.... Soma zaidi

Imewekwa: Apr 20, 2024

Fanyeni kazi kwa kuzingatia Sheria zinazosimamia Utumishi wa Umma.

Watumishi wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali, wametakiwa kutekeleza majukumu yao kwa kuzingatia Sheria zinazosimamia Utumishi wa Umma.... Soma zaidi

Imewekwa: Apr 20, 2024

SERIKALI YASHINDA SHAURI LA USULUHISHI KATIKA BARAZA LA KIMATAIFA LA BIASHARA (ICC)

Tarehe 06 Machi, 2024, Baraza la Kimataifa la Biashara (International Chamber of Commerce-ICC) limetoa uamuzi wake na kuipa Serikali ushindi katika Shauri la Usuluhishi Na. 2682/AZO.... Soma zaidi

Imewekwa: Mar 09, 2024

OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI YAMALIZA MASHAURI YENYE MASLAHI MAPANA KWA TAIFA

Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali (OWMS) imefanikiwa kumaliza mashauri yenye maslahi mapana kwa taifa kwa kusimamia na kuendesha mashauri ya madai, usuluhishi, katiba, haki za binadamu na uchaguzi.... Soma zaidi

Imewekwa: Jan 22, 2024

OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI KUTUMIA MFUMO WA KIELEKTRONIKI WA MASHAURI WA MAHAKAMA KUU

Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali (OWMS) imeanza kutumia Mfumo wa Mashauri wa Mahakama wa Kieletroniki ili kuongeza matumizi ya TEHAMA, uwazi, uwajibikaji, upatikanaji wa taarifa kwa haraka na imani kwa wananchi kuhusu utendaji kazi wa vyombo vinavyotoa haki kwa wananchi.... Soma zaidi

Imewekwa: Jan 11, 2024