Habari

MHE. BALOZI DKT. PINDI HAZARA CHANA AIPONGEZA OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI

Tarehe 13 Septemba 2023, Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana (Mb), amefanya ziara yake kwa mara ya kwanza ya kutembelea Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali (OWMS).... Soma zaidi

Imewekwa: Sep 22, 2023

Rais Samia: Ongezeni Tija na Ubunifu katika Shughuli za Kilimo.

Rais wa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, ametoa wito kwa Wakulima Nchini Kuongeza Tija na ubunifu katika Shughuli za Kilimo ambapo amesema Serikali itaendelea kuweka mazingira Bora na wezeshi ili kuhakikisha Kilimo kinawakwamua wakulima kimaisha nchi nzima.... Soma zaidi

Imewekwa: Aug 09, 2023

Rais Samia: Ongezeni Tija na Ubunifu katika Shughuli za Kilimo.

Rais wa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, ametoa wito kwa Wakulima Nchini Kuongeza Tija na ubunifu katika Shughuli za Kilimo ambapo amesema Serikali itaendelea kuweka mazingira Bora na wezeshi ili kuhakikisha Kilimo kinawakwamua wakulima kimaisha nchi nzima.... Soma zaidi

Imewekwa: Aug 09, 2023

MAWAKILI WA SERIKALI WAPONGEZWA KWA UTENDAJI KAZI.

Naibu Wakili Mkuu wa Serikali, Bi Sarah Mwaipopo amefanya ziara ya kikazi kwenye Ofisi za Wakili Mkuu wa Serikali (OWMS) zilizopo kwenye Mkoa wa Ruvuma na Iringa.... Soma zaidi

Imewekwa: Aug 01, 2023

KAMPENI YA MAMA SAMIA YA MSAADA WA KISHERIA KULETA USAWA NCHINI

Naibu Wakili Mkuu wa Serikali, Sarah Mwaipopo ameiwakilisha Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali (OWMS) kwenye uzinduzi wa Kampeni ya Mama Samia ya Msaada wa Kisheria.... Soma zaidi

Imewekwa: Jul 24, 2023

JAJI MKUU ATAKA MAWAKILI KUBADILIKA KIFIKRA

Jaji Mkuu wa Tanzania, Mhe. Prof. Ibrahim Hamis Juma amewahimiza Mawakili wapya waliopokelewa kubadilika kifikra, mitazamo na mbinu za utoaji wa huduma ili kuziona fursa za ajira ambazo zinaibuliwa katika karne ya sasa.... Soma zaidi

Imewekwa: Jul 21, 2023