Wakili Mkuu wa Serikali, Dkt. Ally Posi (aliyesimama katikati) akiwa na watumishi wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali mara baada ya Maadhimisho ya Siku ya Sheria yaliyofanyika Kitaifa Jijini Dodoma.
Watumishi wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali, wakimsikiliza Wakili Mkuu wa Serikali Dkt. Ally Possi (hayupo pichani) wakati wa kikao cha watumishi wa Ofisi hiyo kilichofanyika Jijini Dar es Salaam.
Wakili Mkuu wa Serikali Dkt. Ally Possi akimkabidhi Jarida la Wakili Mkuu Rais wa Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu Mhe. Jaji Imani D. Aboud, alipotembelea Mahakama hiyo kwa lengo la Kujitambulisha na kuona namna Mahakama hiyo iliyoko Jijini Arusha inavyotekeleza majuku yake.