Wakili Mkuu wa Serikali Dkt, Ally Possi (aliyesimama katikati) akiwa kwenye picha ya pamoja na Wajumbe wa Menejimenti ya Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali mara baada ya kufungua Kikao cha Faragha kwa wajumbe hao kilichofanyika mkoani Morogoro.
Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Damas Ndumbaro (aliyeketi katikati) akiwa kwenye picha ya pamoja na Mawakili wa Serikali wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali baada ya kufungua Mafunzo kwa Mawakili wa Serikali yanayofanyika Jijini Arusha
Viongozi wa Taasisi mbalimbali wakiongozwa na Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro wakionesha Chapa ya Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali baada ya kuizundua wakati wa Mafunzo kwa Mawakili wa Serikali yanayofanyika Jijini Arusha.
Uaminifu
Kutoa huduma bila upendeleo na Uhuru
Wakili Mkuu wa Serikali Dkt. Ally Possi akimkabidhi Jarida la Wakili Mkuu Rais wa Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu Mhe. Jaji Imani D. Aboud, alipotembelea Mahakama hiyo kwa lengo la Kujitambulisha na kuona namna Mahakama hiyo iliyoko Jijini Arusha inavyotekeleza majuku yake.