Viongozi wa Umoja wa Mawakili Vijana (AYL), wakimsikiliza Wakili Mkuu wa Serikali, Dkt. Ally Possi wakati wa kikao cha viongozi hao kilichofanyika Ofisini kwake jijini Dar es Salaam.
Soma zaidi
Wakili Mkuu wa Serikali, Dkt. Ally Possi (aliyesimama kulia) akimkabidhi mkoba wenye nyaraka mbalimbali za Ofisi yake Mwenyeketi wa Umoja wa Mawakili Vijana (AYL) ndugu Emmanuel Ukashu kuhusu Ofisi hiyo alipomtembelea Ofisini kwake Jijini Dar es Salaam.
Soma zaidi
Wakili Mkuu wa Serikali, Dkt. Ally Possi akizungumza na viongozi wa Umoja wa Mawakili Vijana (AYL) (hawapo pichani) walipomtembelea Ofisini kwake jijini Dar es Salaam.
Soma zaidi
Mawakili wa Serikali wametakiwa kuendelea kuwa watetezi wa Serikali katika uendeshaji wa mashauri ya madai na usuluhishi kwa niaba ya Serikali na taasisi zake.
Soma zaidi
Wizara ya Katiba na Sheria iko tayari kushirikiana na Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali na taasisi zilizo chini ya Wizara kupanga pamoja maendeleo ya Sekta ya Sheria nchini.
Soma zaidi