Tanzania emblem

Blogu ya Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali

Taarifa Mpya

WIZARA YA MAWASILIANO YAKABIDHI KOMPYUTA 30 OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI

WIZARA YA MAWASILIANO YAKABIDHI KOMPYUTA 30 OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI

28th Aug 2025

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Bw. Mohammed Khamis Abdulla, amekabidhi kompyuta mpakato (laptop) 30 kwa Wakili Mkuu wa Serikali, Mhe. Dkt. Ally Possi, katika hafla fupi iliyofanyika leo, Agosti 27, 2025, katika ukumbi wa Wizara hiyo uliopo Mji wa Serikali, Mtumba – Dodoma.

Soma zaidi

OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI YASHIRIKI UFUNGUZI WA MAONESHO YA NANENANE

OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI YASHIRIKI UFUNGUZI WA MAONESHO YA NANENANE

05th Aug 2025

Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali imeendelea kutumia Maonesho ya Nanenane kutoa huduma ya msaada wa kisheria kwa wananchi na wadau wake hatua ambayo imesaidia kwa kiasi kikubwa kusogeza huduma karibu na wananchi na wadau wake.

Soma zaidi

Naibu Wakili Mkuu wa Serikali, Bi. Alice Mtulo afanya ziara Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali Shinyanga.

Naibu Wakili Mkuu wa Serikali, Bi. Alice Mtulo afanya ziara Ofisi ya Wakili Mkuu...

27th Jul 2025

Naibu Wakili Mkuu wa Serikali, Bi. Alice Mtulo akizungumza na Mawakili wa taasisi za Serikali na wa Ofisi yake alipokuwa ziarani kukagua utendaji kazi wa Mawakili hao mkoani Shinyanga.

Soma zaidi

OSG YAPUNGUZA GHARAMA KWA WADAU YA KUPATA USHAURI WA KISHERIA

OSG YAPUNGUZA GHARAMA KWA WADAU YA KUPATA USHAURI WA KISHERIA

25th Jul 2025

Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali (OWMS) yapunguza gharama kwa wadau wa karibu ya kupata ushauri mbali mbali wa kisheria kwa wadau ambao wamekuwa wakisafiri umbali mrefu kutoka mkoa wa Tabora kwenda mikoa mingine kupata ushauri wa kisheria.

Soma zaidi

OSG YAPONGEZWA KUFUNGUA OFISI, YASOGEZA HUDUMA KWA WANANCHI

OSG YAPONGEZWA KUFUNGUA OFISI, YASOGEZA HUDUMA KWA WANANCHI

24th Jul 2025

Mahakama ya Tanzania imeipongeza Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali kwa kufungua Ofisi kwenye mkoa wa Manyara ili kusogeza huduma karibu na wadau na wananchi ya uendeshaji wa mashauri ya madai na usuluhishi kwa niaba ya Serikali na taasisi zake.

Soma zaidi