Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Dkt. Juma Homera (Mb) amefungua mafunzo ya Mawakili wa Serikali yanayohusu Mawakili wa Serikali wa kutoka Wizara, Idara, taasisi za Serikali, Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa wa Tanzania Bara na Zanzibar ambayo yanafanyika jijini Arusha.
Soma zaidi
Sekta ya Sheria siyo ya huduma ila miundombinu laini kufikia utekelezaji wa Dira ya Maendeleo ya Taifa 2050.
Soma zaidi
Wakili Mkuu wa Serikali, Dkt. Ally Possi amekutana na Rais wa Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu, Mhe. Jaji Blaise Tchikaya na kufanya mazungumzo nae Ofisi kwake jijini Arusha kwa lengo la kujitambulisha kwa Rais huyo ili kuendeleza ushirikiano uliopo baina ya Ofisi hizo mbili.
Soma zaidi
Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali imeendesha mafunzo kwa viongozi wa taasisi hiyo na menejimenti yake ambayo yamefanyika jijini Dodoma mwishoni mwa wiki ambapo pamoja na mafunzo hayo viongozi hao wamejitathmini utendaji kazi wao wa kila siku, wamepatiwa mafunzo ya uongozi ikiwemo usimamizi na mgawanyo wa majukumu, usimamizi wa muda, itifaki na ustaarabu.
Soma zaidi
Wakili Mkuu wa Serikali, Dkt. Ally Possi akagua maendeleo ya ujenzi wa jengo la Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali linaloendelea kujengwa kwenye mji wa Serikali, Mtumba jijini Dodoma.
Soma zaidi