Wakili Mkuu wa Serikali, Mhe. Dkt. Ally Possi (kushoto) akipokea kompyuta mpakato 30 kutoka kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, ndugu Mohammed Khamis Abdulla kwa ajili ya kuboresha utendaji kazi wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali ambapo makabidhiano hayo yamefanyika leo Wizarani, Mtumba, Dodoma.
Soma zaidi
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Bw. Mohammed Khamis Abdulla, amekabidhi kompyuta mpakato (laptop) 30 kwa Wakili Mkuu wa Serikali, Mhe. Dkt. Ally Possi, katika hafla fupi iliyofanyika leo, Agosti 27, 2025, katika ukumbi wa Wizara hiyo uliopo Mji wa Serikali, Mtumba – Dodoma.
Soma zaidi
Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali imeendelea kutumia Maonesho ya Nanenane kutoa huduma ya msaada wa kisheria kwa wananchi na wadau wake hatua ambayo imesaidia kwa kiasi kikubwa kusogeza huduma karibu na wananchi na wadau wake.
Soma zaidi
Naibu Wakili Mkuu wa Serikali, Bi. Alice Mtulo akizungumza na Mawakili wa taasisi za Serikali na wa Ofisi yake alipokuwa ziarani kukagua utendaji kazi wa Mawakili hao mkoani Shinyanga.
Soma zaidi
Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali (OWMS) yapunguza gharama kwa wadau wa karibu ya kupata ushauri mbali mbali wa kisheria kwa wadau ambao wamekuwa wakisafiri umbali mrefu kutoka mkoa wa Tabora kwenda mikoa mingine kupata ushauri wa kisheria.
Soma zaidi