Tanzania emblem

Blogu ya Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali

Taarifa Mpya

OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI YASHIRIKI UFUNGUZI WA MAONESHO YA NANENANE

OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI YASHIRIKI UFUNGUZI WA MAONESHO YA NANENANE

05th Aug 2025

Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali imeendelea kutumia Maonesho ya Nanenane kutoa huduma ya msaada wa kisheria kwa wananchi na wadau wake hatua ambayo imesaidia kwa kiasi kikubwa kusogeza huduma karibu na wananchi na wadau wake.

Soma zaidi

Naibu Wakili Mkuu wa Serikali, Bi. Alice Mtulo afanya ziara Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali Shinyanga.

Naibu Wakili Mkuu wa Serikali, Bi. Alice Mtulo afanya ziara Ofisi ya Wakili Mkuu...

27th Jul 2025

Naibu Wakili Mkuu wa Serikali, Bi. Alice Mtulo akizungumza na Mawakili wa taasisi za Serikali na wa Ofisi yake alipokuwa ziarani kukagua utendaji kazi wa Mawakili hao mkoani Shinyanga.

Soma zaidi

OSG YAPUNGUZA GHARAMA KWA WADAU YA KUPATA USHAURI WA KISHERIA

OSG YAPUNGUZA GHARAMA KWA WADAU YA KUPATA USHAURI WA KISHERIA

25th Jul 2025

Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali (OWMS) yapunguza gharama kwa wadau wa karibu ya kupata ushauri mbali mbali wa kisheria kwa wadau ambao wamekuwa wakisafiri umbali mrefu kutoka mkoa wa Tabora kwenda mikoa mingine kupata ushauri wa kisheria.

Soma zaidi

OSG YAPONGEZWA KUFUNGUA OFISI, YASOGEZA HUDUMA KWA WANANCHI

OSG YAPONGEZWA KUFUNGUA OFISI, YASOGEZA HUDUMA KWA WANANCHI

24th Jul 2025

Mahakama ya Tanzania imeipongeza Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali kwa kufungua Ofisi kwenye mkoa wa Manyara ili kusogeza huduma karibu na wadau na wananchi ya uendeshaji wa mashauri ya madai na usuluhishi kwa niaba ya Serikali na taasisi zake.

Soma zaidi

OSG TUONGEZE USIKIVU WA MASIKIO YETU KWA WADAU

OSG TUONGEZE USIKIVU WA MASIKIO YETU KWA WADAU

22nd Jul 2025

Naibu Wakili Mkuu wa Serikali ametoa rai kwa watumishi wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali (OWMS) kuongeza usikivu wa masikio yao kwa wadau wanaowahudumia kwenye mikoa 18 ambapo Ofisi hiyo ipo inaendesha mashauri ya madai na usuluhishi kwa niaba ya Serikali na taasisi zake nchini nzima

Soma zaidi