Mawakili wa Serikali wametakiwa kuendelea kuwa watetezi wa Serikali katika uendeshaji wa mashauri ya madai na usuluhishi kwa niaba ya Serikali na taasisi zake.
Soma zaidi
Wizara ya Katiba na Sheria iko tayari kushirikiana na Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali na taasisi zilizo chini ya Wizara kupanga pamoja maendeleo ya Sekta ya Sheria nchini.
Soma zaidi
Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Dkt. Juma Homera (Mb) amefungua mafunzo ya Mawakili wa Serikali yanayohusu Mawakili wa Serikali wa kutoka Wizara, Idara, taasisi za Serikali, Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa wa Tanzania Bara na Zanzibar ambayo yanafanyika jijini Arusha.
Soma zaidi
Sekta ya Sheria siyo ya huduma ila miundombinu laini kufikia utekelezaji wa Dira ya Maendeleo ya Taifa 2050.
Soma zaidi
Wakili Mkuu wa Serikali, Dkt. Ally Possi amekutana na Rais wa Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu, Mhe. Jaji Blaise Tchikaya na kufanya mazungumzo nae Ofisi kwake jijini Arusha kwa lengo la kujitambulisha kwa Rais huyo ili kuendeleza ushirikiano uliopo baina ya Ofisi hizo mbili.
Soma zaidi