Wakili Mkuu wa Serikali, Dkt. Ally Possi akagua maendeleo ya ujenzi wa jengo la Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali linaloendelea kujengwa kwenye mji wa Serikali, Mtumba jijini Dodoma.
Soma zaidi
Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali yafanya tathmini ya utendaji kazi katika kipindi cha nusu Mwaka wa Fedha 2025/26 na kujipanga kutekeleza majukumu yake katika kipindi cha mwezi Januari, 2026 hadi Juni, 2026.
Soma zaidi
Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali Mkoa wa Manyara imefanikiwa kupata gari mpya ambayo itasaidia kuongeza ufanisi katika utekelezaji wa majukumu yake ya kila siku kwa wakati.
Soma zaidi
Timu ya Mpira wa Miguu ya Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali (Wakili Mkuu Sports Club), imefanikiwa kuiduwaza timu ya mpira wa miguu ya Wakala wa Serikali Mahala pa Kazi (OSHA) baada ya kibuka na ushindi wa bao 1-0 Katika mchezo uliochezwa kwenye uwanja wa shule ya Msingi Mabatini jijini Mwanza.
Soma zaidi
Timu ya wanawake wa Ofisi ya Wakili Mkuu Wa Serikali, imefanikiwa kuibuka mshindi baada ya kupata alama moja kati ya alama mbili zinazotakiwa katika mzunguko wa kwanza wa mchezo wa kuvuta kamba wakati wa mashindano ya Shirikisho la Michezo ya Wizara na Idara za Serikali (SHIMIWI) inayoendelea jijini mwanza.
Soma zaidi