Tanzania emblem

Blogu ya Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali

Taarifa Mpya

Naibu Wakili Mkuu wa Serikali, Bi. Alice Mtulo afanya ziara Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali Shinyanga.

Naibu Wakili Mkuu wa Serikali, Bi. Alice Mtulo afanya ziara Ofisi ya Wakili Mkuu...

27th Jul 2025

Naibu Wakili Mkuu wa Serikali, Bi. Alice Mtulo akizungumza na Mawakili wa taasisi za Serikali na wa Ofisi yake alipokuwa ziarani kukagua utendaji kazi wa Mawakili hao mkoani Shinyanga.

Soma zaidi

OSG YAPUNGUZA GHARAMA KWA WADAU YA KUPATA USHAURI WA KISHERIA

OSG YAPUNGUZA GHARAMA KWA WADAU YA KUPATA USHAURI WA KISHERIA

25th Jul 2025

Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali (OWMS) yapunguza gharama kwa wadau wa karibu ya kupata ushauri mbali mbali wa kisheria kwa wadau ambao wamekuwa wakisafiri umbali mrefu kutoka mkoa wa Tabora kwenda mikoa mingine kupata ushauri wa kisheria.

Soma zaidi

OSG YAPONGEZWA KUFUNGUA OFISI, YASOGEZA HUDUMA KWA WANANCHI

OSG YAPONGEZWA KUFUNGUA OFISI, YASOGEZA HUDUMA KWA WANANCHI

24th Jul 2025

Mahakama ya Tanzania imeipongeza Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali kwa kufungua Ofisi kwenye mkoa wa Manyara ili kusogeza huduma karibu na wadau na wananchi ya uendeshaji wa mashauri ya madai na usuluhishi kwa niaba ya Serikali na taasisi zake.

Soma zaidi

OSG TUONGEZE USIKIVU WA MASIKIO YETU KWA WADAU

OSG TUONGEZE USIKIVU WA MASIKIO YETU KWA WADAU

22nd Jul 2025

Naibu Wakili Mkuu wa Serikali ametoa rai kwa watumishi wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali (OWMS) kuongeza usikivu wa masikio yao kwa wadau wanaowahudumia kwenye mikoa 18 ambapo Ofisi hiyo ipo inaendesha mashauri ya madai na usuluhishi kwa niaba ya Serikali na taasisi zake nchini nzima

Soma zaidi

Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria Atembelea Banda la Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali

Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria Atembelea Banda la Ofisi ya Wakili Mkuu w...

08th Jul 2025

Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria, Ndugu Eliakimu Maswi akipitia Jarida la Wakili Mkuu alipotembelea banda la Ofisi hiyo wakati wa Maonesho ya Sabasaba yanayoendelea Jijini Dar es Salaam.

Soma zaidi