Tanzania emblem

Blogu ya Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali

Taarifa Mpya

MAWAKILI TUWE WATETEZI WA SERIKALI

MAWAKILI TUWE WATETEZI WA SERIKALI

23rd May 2026

Mawakili wa Serikali wametakiwa kuendelea kuwa watetezi wa Serikali katika uendeshaji wa mashauri ya madai na usuluhishi kwa niaba ya Serikali na taasisi zake.

Soma zaidi

WIZARA NA TAASISI KUPANGA PAMOJA MAENDELEO YA SEKTA YA SHERIA

WIZARA NA TAASISI KUPANGA PAMOJA MAENDELEO YA SEKTA YA SHERIA

21st May 2026

Wizara ya Katiba na Sheria iko tayari kushirikiana na Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali na taasisi zilizo chini ya Wizara kupanga pamoja maendeleo ya Sekta ya Sheria nchini.

Soma zaidi

SEKTA YA SHERIA NI MSINGI WA UCHUMI WA NCHI

SEKTA YA SHERIA NI MSINGI WA UCHUMI WA NCHI

19th May 2026

Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Dkt. Juma Homera (Mb) amefungua mafunzo ya Mawakili wa Serikali yanayohusu Mawakili wa Serikali wa kutoka Wizara, Idara, taasisi za Serikali, Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa wa Tanzania Bara na Zanzibar ambayo yanafanyika jijini Arusha.

Soma zaidi

SEKTA YA SHERIA NI MIUNDOMBINU LAINI KUFIKIA DIRA 2050

SEKTA YA SHERIA NI MIUNDOMBINU LAINI KUFIKIA DIRA 2050

17th Apr 2026

Sekta ya Sheria siyo ya huduma ila miundombinu laini kufikia utekelezaji wa Dira ya Maendeleo ya Taifa 2050.

Soma zaidi

WAKILI MKUU WA SERIKALI AKUTANA NA RAIS WA MAHAKAMA YA AFRIKA YA HAKI ZA BINADAMU NA WATU

WAKILI MKUU WA SERIKALI AKUTANA NA RAIS WA MAHAKAMA YA AFRIKA YA HAKI ZA BINADAM...

12th Mar 2026

Wakili Mkuu wa Serikali, Dkt. Ally Possi amekutana na Rais wa Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu, Mhe. Jaji Blaise Tchikaya na kufanya mazungumzo nae Ofisi kwake jijini Arusha kwa lengo la kujitambulisha kwa Rais huyo ili kuendeleza ushirikiano uliopo baina ya Ofisi hizo mbili.

Soma zaidi