Tanzania emblem

Blogu ya Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali

Taarifa Mpya

OSG TUONGEZE USIKIVU WA MASIKIO YETU KWA WADAU

OSG TUONGEZE USIKIVU WA MASIKIO YETU KWA WADAU

22nd Jul 2025

Naibu Wakili Mkuu wa Serikali ametoa rai kwa watumishi wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali (OWMS) kuongeza usikivu wa masikio yao kwa wadau wanaowahudumia kwenye mikoa 18 ambapo Ofisi hiyo ipo inaendesha mashauri ya madai na usuluhishi kwa niaba ya Serikali na taasisi zake nchini nzima

Soma zaidi

Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria Atembelea Banda la Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali

Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria Atembelea Banda la Ofisi ya Wakili Mkuu w...

08th Jul 2025

Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria, Ndugu Eliakimu Maswi akipitia Jarida la Wakili Mkuu alipotembelea banda la Ofisi hiyo wakati wa Maonesho ya Sabasaba yanayoendelea Jijini Dar es Salaam.

Soma zaidi

KATIBU MKUU MASWI AIPONGEZA OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI USIMAMIZI WA MASHAURI

KATIBU MKUU MASWI AIPONGEZA OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI USIMAMIZI WA MASHAU...

08th Jul 2025

Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali imepongezwa kwa kuendelea kusimamia kwa weledi mashauri ya madai na usuluhishi hatua ambayo imesaidia Serikali kuongeza kasi katika kuwaletea wananchi maendeleo.

Soma zaidi

WATUMISHI WA UMMA NI TASWIRA YA SERIKALI

WATUMISHI WA UMMA NI TASWIRA YA SERIKALI

27th Apr 2025

Watumishi wa umma ni taswira au sura ya Serikali hivyo tunatakiwa tuangalie na kuzingatia namna tunavyofanya kazi na tunapotekeleza majukumu ya Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali kwa niaba ya Serikali. Kila mmoja ana wajibu kwa kutunza taswira ya Serikali tunayoitumikia chini ya Uongozi wa Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Soma zaidi

MAWAKILI WA SERIKALI TOENI USHAURI UNAOZINGATIA MASLAHI YA TAIFA

MAWAKILI WA SERIKALI TOENI USHAURI UNAOZINGATIA MASLAHI YA TAIFA

25th Apr 2025

Wakili Mkuu wa Serikali, Dkt. Ally Possi akizungumza kwa njia ya mtandao na waajiriwa wapya wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali wakati wa mafunzo elekezi yaliyofanyika mkoa wa Pwani.

Soma zaidi