Naibu Wakili Mkuu wa Serikali, Bi. Alice Mtulo akizungumza na Mawakili wa taasisi za Serikali na wa Ofisi yake alipokuwa ziarani kukagua utendaji kazi wa Mawakili hao mkoani Shinyanga.
Soma zaidi
Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali (OWMS) yapunguza gharama kwa wadau wa karibu ya kupata ushauri mbali mbali wa kisheria kwa wadau ambao wamekuwa wakisafiri umbali mrefu kutoka mkoa wa Tabora kwenda mikoa mingine kupata ushauri wa kisheria.
Soma zaidi
Mahakama ya Tanzania imeipongeza Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali kwa kufungua Ofisi kwenye mkoa wa Manyara ili kusogeza huduma karibu na wadau na wananchi ya uendeshaji wa mashauri ya madai na usuluhishi kwa niaba ya Serikali na taasisi zake.
Soma zaidi
Naibu Wakili Mkuu wa Serikali ametoa rai kwa watumishi wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali (OWMS) kuongeza usikivu wa masikio yao kwa wadau wanaowahudumia kwenye mikoa 18 ambapo Ofisi hiyo ipo inaendesha mashauri ya madai na usuluhishi kwa niaba ya Serikali na taasisi zake nchini nzima
Soma zaidi
Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria, Ndugu Eliakimu Maswi akipitia Jarida la Wakili Mkuu alipotembelea banda la Ofisi hiyo wakati wa Maonesho ya Sabasaba yanayoendelea Jijini Dar es Salaam.
Soma zaidi