Timu ya wanawake wa Ofisi ya Wakili Mkuu Wa Serikali, imefanikiwa kuibuka mshindi baada ya kupata alama moja kati ya alama mbili zinazotakiwa katika mzunguko wa kwanza wa mchezo wa kuvuta kamba wakati wa mashindano ya Shirikisho la Michezo ya Wizara na Idara za Serikali (SHIMIWI) inayoendelea jijini mwanza.
Soma zaidi
Wakili Mkuu wa Serikali, Mhe. Dkt. Ally Possi akiwa kwenye kikao na baadhi ya wajumbe wa Menejimenti na watumishi wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari na wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali kabla ya kupokea kompyuta mpakato 30 kutoka kwa Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, ndugu Mohammed Khamis Abdulla kwa ajili ya kuboresha utendaji kazi wa Ofisi hiyo kwenye hafla iliyofanyika leo Wizarani, Mtumba, Dodoma.
Soma zaidi
Wakili Mkuu wa Serikali, Mhe. Dkt. Ally Possi (kulia) akifurahia kupokea kompyuta mpakato 30 kutoka kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, ndugu Mohammed Khamis Abdulla kwa ajili ya kuboresha utendaji kazi wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali ambapo makabidhiano hayo yamefanyika leo Wizarani, Mtumba, Dodoma.
Soma zaidi
Wakili Mkuu wa Serikali, Mhe. Dkt. Ally Possi (kushoto) akipokea kompyuta mpakato 30 kutoka kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, ndugu Mohammed Khamis Abdulla kwa ajili ya kuboresha utendaji kazi wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali ambapo makabidhiano hayo yamefanyika leo Wizarani, Mtumba, Dodoma.
Soma zaidi
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Bw. Mohammed Khamis Abdulla, amekabidhi kompyuta mpakato (laptop) 30 kwa Wakili Mkuu wa Serikali, Mhe. Dkt. Ally Possi, katika hafla fupi iliyofanyika leo, Agosti 27, 2025, katika ukumbi wa Wizara hiyo uliopo Mji wa Serikali, Mtumba – Dodoma.
Soma zaidi