Missioon and Vission

Dhima:

Kuendesha Madai ya Mashauri ya Upatanishi, Usuluhisho na Mashtaka mengine ya kiraia kwa ufanisi na kiutaalam kwa niaba ya Serikali.

Dira:

Kuwa Ofisi Mahiri ya Umma ya Kuendesha kesi na Mashauri ya Madai yanayoihusu Serikali.