WAKILI MKUU WA SERIKALI AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA VIONGOZI WA UMOJA WA MAWAKILI VIJANA (AYL)
31st Jul 2026
Viongozi wa Umoja wa Mawakili Vijana (AYL), wakimsikiliza Wakili Mkuu wa Serikali, Dkt. Ally Possi wakati wa kikao cha viongozi hao kilichofanyika Ofisini kwake jijini Dar es Salaam.
Maoni